iqna

IQNA

Isa Qassim
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia nchini wa Bahrain Sheikh Isa Qassim amelaani vikali kitendo cha kuchomwa moto Qur'ani Tukufu hivi karibuni katika nchi za Ulaya.
Habari ID: 3476466    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/26

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi mkuu wa Kiislamu nchini Bahrain amewataka watawala wa nchi hiyo kuwaachilia huru mara moja wafungwa wote wa kisiasa nchini humo.
Habari ID: 3474109    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/17

TEHRAN (IQNA) – Watu wa Bahrain wameandamana katika mji mkuu, Manama, Ijumaa jioni wakitaka wafungwa wa kisiasa waachiliwe huru.
Habari ID: 3473779    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/03

Sheikh Isa Qassim
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amesema jitihada za taifa hilo la Kiarabu katu hazitazimwa na dhulma na ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya usalama vya utawala wa kiukoo unaoingoza nchi hiyo kwa mkono wa chuma.
Habari ID: 3473650    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/14

TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kishia huko Bahrain Ayatullah Isa Qassim amelaani utawala wa ufalme wa Al Khalifa nchini humo kwa kufunga misikiti ya Mashia katika mji wa Hamad na kusema hatua hiyo itaibua fitina.
Habari ID: 3473110    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/27

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini- Mwenyezi Mungu Amrehemu- yanafanana na ya Mitume- Mwenyezi Mungu Awarehemu- na kusisitiza kwamba umma wote wa Kiislamu una wajibu wa kuyalinda mapinduzi hayo.
Habari ID: 3472834    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/04